Jee huyu ndiye yule mwarabu wa Suti?Miaka ya nyuma ilikuwa picha za viongozi kwne fremu ukutani ukiingia ofisi za wafanya biashara aina fulani.
Lae nimeona kali, ya JK kuwekwa ukutani,tena ukuta wa nje.
Hicho ni kitaa cha Mbozi rodi,Chang'ombe
Wazee waJF protokali mwasemaje juu ya hili.View attachment 40341
Jee huyu ndiye yule mwarabu wa Suti?
Mtu wa TRA akiona tu hiyo picha na mwenye duka, basi hapaingiliki.Ikiwekwa ndani itaionekaje???? Inabidi hapo hapo nje watu waone kama na mie (mfanyabiashara) nilishawahi kukaa na rais kiti kimoja.