Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu,
Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1987 huko sokoni Budapest Hungary.
Picha ya pili ilipigwa tena kwa mfanano kama ule wa kwanza(recreated)na watu walewale, eneo lilelile mwaka 2020.
Inaleta kumbukumbu nzuri sana hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita na mabadiliko mengi yametokea.
Mpiga picha pia ni yuleyule wa mwaka 1987 ambaye ndiye mume huyo binti(wa zamani) na baba wa huyo binti(wa sasa).
Anaitwa Attila Manek,kazi yake ni photographer.
Mungu ni mwema sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1987 huko sokoni Budapest Hungary.
Picha ya pili ilipigwa tena kwa mfanano kama ule wa kwanza(recreated)na watu walewale, eneo lilelile mwaka 2020.
Inaleta kumbukumbu nzuri sana hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita na mabadiliko mengi yametokea.
Mpiga picha pia ni yuleyule wa mwaka 1987 ambaye ndiye mume huyo binti(wa zamani) na baba wa huyo binti(wa sasa).
Anaitwa Attila Manek,kazi yake ni photographer.
Mungu ni mwema sana.
Sent using Jamii Forums mobile app