nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
[h=3][/h]
Kunja ngumu... Peoples Power.....
Mtoto wa mama ntilie amevaa ndala katika mkutano wa hadhara jana..
Mheshimiwa tunakusikiliza....
Sisi ni Chadema tuuuuuu.
Umati wa watu waliofurika kwenye Mkutano...
Mheshimiwa Wenje akisem na wakazi wa kata ya Igoma katika mkutano wa hadhara uliofanyika Igoma.
Mheshimiwa Hezekia Wenje Mbunge wa Jimbo la Nyamagana amesema kuwa yeye na viongozi wa Chadema wako tayari kuwasaidia wananchi kutoka katika shida walizonazo.
Akizungumza katika mkutano huu uliofanyika katika kata ya Igoma Wenje alisema muda wa wananchi kudanganywa na propaganda ambazo hazina tija umepita na Chadema tumejipanga kulitekeleza hilo.
Amesema hata Dokta Slaa, Mheshimiwa Mbowe au Wenje akileta mambo ya ajabu atawekwa pembeni maana Chadema hii ya Watanzania.
Picha na B Plus Blog