mkuu hapa mtu anaweza kuingia mkenge akavamia hapo na gobole lake anataka meno!!
mkuu hapa mtu anaweza kuingia mkenge akavamia hapo na gobole lake anataka meno!!
Huyu gardener tukimpa tenda aturekebishie round about ya kariakoo hatatuangusha kama yule aliyetuwekea samaki wa mabati.
ndio haoni ata rangiDah Kama ni majani mtunza bustani ni mbunifu