jiwe anawapenda kuwaweka ofisini ili akishindwa majukumu ajinyonge humo humo!Obama kapokewa na Mhehe, safi sana Wanyalukolo
Hahahahaaajiwe anawapenda kuwaweka ofisini ili akishindwa majukumu ajinyonge humo humo!
JPM hata akiwa rais anasafiri kwa Gari.Mambo yanabadilika sana.. Kutoka airforce one mpaka 5H- sio mchezo..Kumbe jiwe nae ataenda na Vitz Chaaato
Angalia picha ya pili anakwenda wapiMbona hapo ni anaagwa...
Kwe kwe kwe kweh!Mambo yanabadilika sana.. Kutoka airforce one mpaka 5H- sio mchezo..Kumbe jiwe nae ataenda na Vitz Chaaato
Leo kaenda ujaluoniMK254 yuko wapi?
Huwa wanawacheki tu watu wa Lumumba-Hiiiiiii.Si anaenda Kenya, mbona katua KIA? Kweli Tz kisiwa cha amani.
Tuko vizuriObama kapokewa na Mhehe, safi sana Wanyalukolo
Ahaaaahhhh… jamaa povu liliwatoka jana kweli… hebu mwite aje hapa chap na manyang'au wenzakeMK254 yuko wapi?
Mkuu hata kutazama tu huwezi!!?Mbona hapo ni anaagwa...
Tanzania kakaa siku nane akila Bata na familia yake, leo ndio ametua Kenya.Si anaenda Kenya, mbona katua KIA? Kweli Tz kisiwa cha amani - free of Al Shabahs! Karibu sana Tz raisi mstaafu wa taifa kubwa duniani. Ingependeza mkaonana na mwenzako wa kule Msoga, Bagamoyo kama atakuwa hajasafiri nje ya nchi.
Akija na akakomenti nitag mkuu.MK254 yuko wapi?