Picha: Waziri wa Mambo Ya Nje alivyompokea Barack Obama uwanja wa ndege wa KIA

Trump2

JF-Expert Member
May 28, 2017
1,553
2,608
IMG-20180715-WA0147.jpg

IMG-20180715-WA0148.jpg

IMG-20180715-WA0149.jpg
 
Si anaenda Kenya, mbona katua KIA? Kweli Tz kisiwa cha amani - free of Al Shabahs! Karibu sana Tz raisi mstaafu wa taifa kubwa duniani. Ingependeza mkaonana na mwenzako wa kule Msoga, Bagamoyo kama atakuwa hajasafiri nje ya nchi.
 
Si anaenda Kenya, mbona katua KIA? Kweli Tz kisiwa cha amani - free of Al Shabahs! Karibu sana Tz raisi mstaafu wa taifa kubwa duniani. Ingependeza mkaonana na mwenzako wa kule Msoga, Bagamoyo kama atakuwa hajasafiri nje ya nchi.
Tanzania kakaa siku nane akila Bata na familia yake, leo ndio ametua Kenya.
 
Back
Top Bottom