MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,757
- 48,407
roho imewauma sana kukaa tz siku nane....mlitoa povu wiki nzima. nasikia zinadine zidane yupo tz kwa vacation. mtajibeba awamu hii.
Ingeniuma kama angefanya mbwembwe zote hizi huko Tz halafu aje kutukenulia meno, lakini hilo la kuja kimya kushangaa nyumbu wa Serengeti sioni kama tatizo maana ni private citizen kwa sasa, hivyo anaruka na kwenda popote muda autakao iwe kwa siri au kwa mbwembwe.