Yes man.......nawafahamu wakinadada/mama mob wanaendesha magari "yakibishi". Arusha kipande hii kawaida....wadada/mama wakizungu wanavunja gia kama hawana akili nzuri. Wewe unaishi wapi? Dar? Kama ndivyo huko nadhani mazingira/mazoea yanamtaka mwanamke awe legelega kuanzia kimuonekano, ideas hadi mavazi na gari analotumia. Binafsi sipendi mwanamke/jamii inaongozwa na attitude yanamna hii. Mwanamke inatakiwa aonekane strong aendeshe chochote anachopenda...ndio life inaenda ivyo in this 21st century.