Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww kama kusoma hujui inamaa hata picha huioni?Duuuuh! Mkuu naomba unijuze. Cha kushangaza hapo nini?
Kusoma najua lakini kuangalia picha nimeshindwa. Mwanamke kuendesha DEFENDER Tdi au?Ww kama kusoma hujui inamaa hiyo picha huioni?
Sasa wewe unaona swala dogo mwanamke atembelee hiyo halafu kuna wanaume wana passo na wamebandika L (leaner)?Kusoma najua lakini kuangalia picha nimeshindwa. Mwanamke kuendesha DEFENDER Tdi au?
Hahaha mkuu umenichekesha,umenikumbusha ule utani wa wanaume wa DSMSasa wewe unaona swala dogo mwanamke atembelee hiyo halafu kuna wanaume wana passo na wamebandika L (leaner)?