hapo hawajasema, hadi wasema. nani aliwaambia wauwe Joshua na Clement? funza kabisa hawa.
hivi huu ni ugali kweli huu tunaoujua au ni madabudabu yao tu? Ugali ni huo hapo kwenye avator yanguDuh! Jamaa hata msosi hujaiva wana bakuli tayari, halafu wameweka uzio kwa sababu watu wanaweza kuondoka na hizo sufuria wamebeba. Njaa mbaya sana.
Aisee njaa isikie tu,
Lakini si ugali, hawatumii ugali hao.
Hapana huo si ugali mleta uzi ni muongo balaa, Tazama hii picha.hivi huu ni ugali kweli huu tunaoujua au ni madabudabu yao tu? Ugali ni huo hapo kwenye avator yangu