Picha wanaume tunaupendo wa asili!

Picha wanaume tunaupendo wa asili!

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,955
Reaction score
16,006
nimeyapenda malezi ya wazazi wa mtoto huyu wa kiume!
10314738_10154121619211953_4654768602186147278_n.jpg
 
kwa hiyo wa uswahilini tuna shida kidogo...?!

Sio kidogo tuna shida sana.Uswahili wakikuona unapiga hawakawi kusema umekaliwa,ukifua nguo ndio inakuwa nongwa wanaa hawakawi kuwaita mawifi waje washuhudia Kaka yao alivyokaliwa na mke.
 
Sio kidogo tuna shida sana.Uswahili wakikuona unapiga hawakawi kusema umekaliwa,ukifua nguo ndio inakuwa nongwa wanaa hawakawi kuwaita mawifi waje washuhudia Kaka yao alivyokaliwa na mke.
Du...hope haka katoto 'hakajakaliwa'
 
10314738_10154121619211953_4654768602186147278_n.jpg


We unafikiri angekulia uswahili angefanya hivi.

Hicho kitu kidogo sana mbona labda kama umri wako bado haujapevuka,ivyo vitu vya kawaida mno usidhani kila kitu ni mtu mweupe tu ndo anaweza hebu jaribu kua mbea ufatilie maisha ya wapenzi weusi uone manjojo ya watoto wa kiume,acha kukariri.
 
Yule muheshimiwa aliyetuhumiwa kufunga n nyuzi za viatu hadharani alizaliwa uzunguni?

Yule alikuwa akiusaka ukuu wa Wilaya baada ya kuupata kawa jeuzi utafikiri dume la Mbogo.
 
Aaah wapi, huyo atakua dadaake! (mwanaume mwanaume tu hata awe mdogo). Upendo wa dhati wanao wanawake.

Upendo wa mama, nani kama mama, hata mapenzi ya boyfriend na girlfriend hayafiki!
 
Aaah wapi, huyo atakua dadaake! (mwanaume mwanaume tu hata awe mdogo). Upendo wa dhati wanao wanawake.

Upendo wa mama, nani kama mama, hata mapenzi ya boyfriend na girlfriend hayafiki!
Akina mama mgekuwa na upendo msingeweka motto tumboni miezi 9 mwisho wa yote mnamtupa jalalani au chooni. Nimeshuudia baba wametupiwa vichanga ona wanavyoangaika mara polisi, mara hospitalini mara ustawi wa jamii, mama haooo wamepotelea kizani kusaka maisha mengine
 
Akina mama mgekuwa na upendo msingeweka motto tumboni miezi 9 mwisho wa yote mnamtupa jalalani au chooni. Nimeshuudia baba wametupiwa vichanga ona wanavyoangaika mara polisi, mara hospitalini mara ustawi wa jamii, mama haooo wamepotelea kizani kusaka maisha mengine

Kwanza nitake radhi, mie ni Mwanaume mkuu. Ukitaka kuchukulia mambo kijumlajumla kwana uzi unavyoenda kwamba wanaume tuna upendo wa asili mbona haujaongelea jinsi wanaume tunavyowatelekeza na kuwanyanyasa wanawake hadi wengine kufikia kufanya hayo uliyoyataja?
Mara ngapi wanawake wanatukamata na michepuko bado wanatusamehe licha ya kuumia kimoyomoyo taratibu?
Unaongeleaje wanaume wanaowakataa na kuwatesa wanawake wakishawapa ujauzito?
Upendo wa mama hauna kifani, Mungu amewapa mioyo ya kipekee sana wanawake.
 
Kwanza nitake radhi, mie ni Mwanaume mkuu. Ukitaka kuchukulia mambo kijumlajumla kwana uzi unavyoenda kwamba wanaume tuna upendo wa asili mbona haujaongelea jinsi wanaume tunavyowatelekeza na kuwanyanyasa wanawake hadi wengine kufikia kufanya hayo uliyoyataja?
Mara ngapi wanawake wanatukamata na michepuko bado wanatusamehe licha ya kuumia kimoyomoyo taratibu?
Unaongeleaje wanaume wanaowakataa na kuwatesa wanawake wakishawapa ujauzito?
Upendo wa mama hauna kifani, Mungu amewapa mioyo ya kipekee sana wanawake.
Uko sahihi mkuu, nimeipenda hii. Walijaaliwa upendo wa hali ya juu sana.
 
Hivi kufungiana viatu ndio kuwa na upendo wa kweli?

Naona wimbi la picha za namna hii zinazidi kuongezeka , unakuta mwanamme anamtengenezea kiatu mwanamke. Seriously huku ndiko tulipofikia kwnye definition ya upendo??

To me , this is just so wrong..
 
Back
Top Bottom