nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
MONDAY, OCTOBER 29, 2012[h=3]WAKAZI WA TUKUYU WILAYANI RUNGWE WAINGIWA NA KIWEWE BAADA YA KUIONA HELKOPTA IKITUA KATIKA KIWANJA CHA TANDALE WAKIDHANI WAMALAWI WAMESHAANZA VITA[/h]
na ingekuwa wamalawi kweli wangekufa kama kuku!
Watanzania wenyewe ni moja ya maajabu ya dunia !
MONDAY, OCTOBER 29, 2012WAKAZI WA TUKUYU WILAYANI RUNGWE WAINGIWA NA KIWEWE BAADA YA KUIONA HELKOPTA IKITUA KATIKA KIWANJA CHA TANDALE WAKIDHANI WAMALAWI WAMESHAANZA VITA
<tbody>
</tbody>
<tbody>
</tbody>
Weweeee....Tanzania katika mambo ya ndondi tuko FIT ile FIT kinoumer, ingekua ni helkopta ya Malawi hata hapo Tukuyu isingefika. Ingeishatunguliwa zamani za kale, chezea Tanzania weye kwenye ndondi za kivita?? Uliza Comolo na Uganda watakwambia.
Jeshi letu liko makini tofauti na unavyoweza kufikiria.
Jiulize kwanini yule mama kakimbilia kupiga kelele za kuishtaki Tanzania? Anajua angetwangwa hata kabla hajajipanga ndio maana kakimbilia kupaza sauti asikike....usicheze na TZ when it comes to war, tuko FIT ndugu yangu!
Kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,ubarikiwe mkuu kwa mawazo haya!!!Dah,umeona mbali sana.Watanzania wenyewe ni moja ya maajabu ya dunia !
Ili kuutendea haki uzi huu, mleta habari unatakiwa sasa kueleza, hiyo Helikopta ilikuwa ni ya nani, ilifuata nini hapo, na kama utaweza kujua kama ilifanikiwa kupata ilichokifuata sio mbaya. Umeiacha habari inahang that is why watu including yourself mmedakia habari za majeshi ambayo pengine hata hayahusiki. Hebu rudi unyooshe maneno.
Watanzania wenyewe ni moja ya maajabu ya dunia !