Picha: Wana-CCM hii ni sawa? Ongea chochote hapa.

Picha: Wana-CCM hii ni sawa? Ongea chochote hapa.

Sorry guys,

Nadhani siyo mbaya tukikubaliana on this kwamba it makes a good sense kusema kuwa hiki ni kikundi cha kwaya na walikuwa kwenye process ya kuimba. Binafsi inaniingia hiyo.
 
walikuwa wanaomba mgao wa escrow ....hata hivyo hawakupata
 
Mi sijaelew. Ndio utiifu kwa viongozi?
attachment.php
Njaa mbaya.Waswahili wanasema ''adui yako muombee njaa''
Fikiria,huyo mzee kama ni baba yako anajidhalilisha apate kulisha
familia au ada ya watoto waende shule!
Ni lazima tuungane kuondoa ukoloni mamboleo
bila kujali kabila wala dini zetu.
 
Back
Top Bottom