Picha:- Uwanja wa Ndege Songea

duuu kweli mmeelekezwa mavumbini hadi kigoma imewashinda uwanja wa ndege
 
We mzee unashinda kwenye Habari za kipumbavu kukashifu na kumtukana MAGUFULI kucha kutwa Habari za maana kama hizi utazijulia wapi?

 
duuu kweli mmeelekezwa mavumbini hadi kigoma imewashinda uwanja wa ndege
Endelea kujikita kwenye page ya mange kimavi,
MAGUFULI akishinda 2020 kwa 98% msiseme wala msishangae nyie endelezeni umbea yeye ni [HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
 
nawewe ni wa nyumbi bombii
 
Wamekuwa kama dada yao Mange Kimambi, yule wa hide my Id please.
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
hahaaaa daaahh kwahiyo ruvuma pawe kijiji cha ruvuma museum.. aisee
 
Duh!huo ni uwanja wa ndege au eneo la kupaki mitambo ya mkandarasi????
mkuu umona vibaya ..lile nishamba la kilimo cha kahawa ..mabwana shamba wapo kwenye survey wanataka kupeleka kilimo cha kahawa huko
 
Unafiki na kujipendekeza kwa wangoni kunawaponza mji hauna challenge kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…