Picha: Uwajibikaji na Masilahi

Hii ndio inaonyesha ni kiasi gani viongozi wetu hawako serious na wananchi na inadhihirisha ubinafsi walio nao amelala fofofo huenda alikuwa ana koroma. huyo mzee ameishajichokea sijui kwanini bado hata anapewa uwaziri. hata huku kwetu Bunda tumeisha m-delete tunasubiri amalizia muda wake arudi kuuza samaki kwenye majokofu. it is shame!
 
Mkuu, mbona huyo anayekoroma umempunguzia masilahi yake kwa siku? Siyo 200,000 bali ni 330,000 na hii ni halali kwa sababu huyo aliyesinzia maisha yamepanda sana kwake na si kwa wengine!!

Ishapanda?
 
Tutafute kipimo kitakochoweza kumpima mtu utu wake kabla hajapewa madarka,unajua viongozi wengi ni pretenders!
 
hapa ni kulamba rushwa mtindo mmoja ili kufikisha 200,000/= kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…