Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Miwani wanayatumia kwa kuzuia jua kali. Na si vinginevyo.
 
Hiyo sio miwani, ni darubini zinazowaletea taarifa za kiintelijensia!
Miwani uchwara unayouzwa na wamachinga kwa 1500,bei ya jioni.

Hakuna vifaa vya kiintelijinsia hapo, wanataka kuonekana kama kwenye movie za Arnold shwaziniga (komando joni), full maigizo.

Picha linaendelea...
 
Kishaija!! Ww sio mzima kichwani. Jeshi la polisi halina chama, kazi yao ni kulinda raia na mali zao nasi mkutano wa ccm..
Wacha kujitoa ufahamu wewe ,Sio katika nchi hii and it will never be. Itabaki kwenye maandishi lakini in reality ni kwa masilahi ya ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…