Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
View attachment 24166Hii ni mitambo ya nini hapa getini kwa Songas muda huu saa tisa mchana iko mitatu kwenye gari tatu kubwa....au mgao karibu kimbia zake!!!???
Source;Kibonde
View attachment 24166Hii ni mitambo ya nini hapa getini kwa Songas muda huu saa tisa mchana iko mitatu kwenye gari tatu kubwa....au mgao karibu kimbia zake!!!???
Source;Kibonde
Sio mabomu mapya ku-replace yalo lipuka majuzi?
Mabomu yapelekwe Ubungo Power plant kufanyeje sasa jamani.........
View attachment 24166Hii ni mitambo ya nini hapa getini kwa Songas muda huu saa tisa mchana iko mitatu kwenye gari tatu kubwa....au mgao karibu kimbia zake!!!???
Source;Kibonde
Mabomu yapelekwe Ubungo Power plant kufanyeje sasa jamani.........
Hapa wakuu kinachotakiwa serikali inunue mitambo yake. Inawezekanaje kununua bmw za ikulu ambazo hazitumiwi mara kwa mara? Wanakuja kukodisha mitambo ambayo inahitajika kila siku? Na kinacho takiwa ni kuwa na mitambo yetu ili bei ya umeme iwenafuu kwa kila mtanzania, swala la kukodisha hata kama umeme utakuwepo 24/7 kama wewe si fisadi hatutaweza kulipa bili.