nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP),Said Mwema akimfariji mmoja wa majeruhi walioumia wakati polisi wakiwadhibiti wafuasi wa Chadema wiki iliyopita.Mwandishi wa Habari wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten,Daudi Mwangosi alifariki katika vurugu hizo.
SOURCE; Mwananchi Communications Ltd