NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,024
- 688
Maisha unaeza ukawa hata mfagiaji barabarani mesh ukawa rais wa nchi. Na ambae ameleta picha. Nahisi atakua na matatizo kabisa
Are you innocent enough to judge your fellow human? umekamilika kwa sasa mpaka umseme makonda? don't identify yourself as an innocent guy, sote tuna mapungufu.amekulia maisha ya kilokole, alikuwa anamjua Mungu, maisha yake mengi amekuwa akizunguka kwenye mikutano ya injili, lakini kwa sasa, Mungu ndiye anajua.
ndio maana watu husema, bora mwanzo mbaya kuliko mwisho mbaya. utafaidika nini ukiupata ulimwengu huu wote ukaukosa uzima wa milele?
anafanana na teacher mnoko wa civics
you must be jockingHandsome man.
Thank you sana Mkuu MWANAKA .Mwenyezi Mungu humtoa mbali mja wake
From zero to hero
Rejea kwenye vitabu vya Mungu kuna shuhuda nyingi na nzuri huko
Nani anaijua kesho yake !
Au mfano nani ajuaye kwamba Makonda wa leo ndo Raisi wa kesho?
Chochote kinawezekana maana hakuna ajuaye ni mema yepi ambayo Mweneyzi Mungu amempangia kwa kesho
Kubwa zaidi ni kutimiza makusudi ya Mungu wako kwa kumwabudu na kumuomba sana ili utimize kusudi la yule aliyekuleta hapa duniani
You think positive Mkuu ubinaadamukwanza ,You reflect your username.Makomandoo wa mitandao, tujiepushe na kumzungmzia mtu Binafsi au maumbile nk. Haswa wanaume kupiga stori kama dada zetu wanaposuka nywele.
Tuzungumzie sera, mwelekeo, maadili na mwenendo wa Uongozi wa mtu, fikra, vitendo na mwelekeo kwa ujumla.
Kuna mengi tunajifunza kwa Mhe.Paul Makonda, tunajifunza mazuri ya kuiga na kuyafuata, na pia kama mengine sio mazuri tusiyafuate. Ni Mtanzania mwenzetu, ni Binaadamu mwenzetu. Pia ni mwanaMapinduzi mwenzetu.
Jukumu la kuwaheshimu viongozi wetu liwe shingo mwetu. Tunalibeba.
Katika safari ya kulitumikia Taifa letu, tunamuomba ndugu yetu awache "Unafiki" tuu. Tunahamu ya kumuona anakuwa Kiongozi safi, muadilifu, mtetea haki sio hapa nyumbani tuu, na sehemu nyingi duniani.
Mwenyezi Mungu amuongoze na kumlinda.
Namzidi sana tuumakonda hajui kuvaa? hahahaa chuki zingine shida tu wewe utamzidi?
Hebu tupiapo kapicha tulinganishe na mitoko yakeNamzidi sana tuu
Mkuu mbona nishaweka sana picha zangu humu?Hebu tupiapo kapicha tulinganishe na mitoko yake
Mane toku mai flendi