Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Hivi tuhuma za kujenga maghorofa na kununua magari ya kifahari pesa anatoa wapi?
Ndo Leo amesema atufukuza mjini tutoke na ndala duu maskini akipata........ .....Zaali la mental likanitokea wakati si mjanja prof jize
Ndo Leo amesema atufukuza mjini tutoke na ndala duu maskini akipata........ .....





Ya kuboa taifakwani ana mipango gani?
Ni kweli lakini sidhani kama Mwenyezi Mungu ametuhimiza kua na chuki nakufnya mambo bila kufuata sheriaMwenyezi Mungu humtoa mbali mja wake
From zero to hero
Rejea kwenye vitabu vya Mungu kuna shuhuda nyingi na nzuri huko
Nani anaijua kesho yake !
Au mfano nani ajuaye kwamba Makonda wa leo ndo Raisi wa kesho?
Chochote kinawezekana maana hakuna ajuaye ni mema yepi ambayo Mweneyzi Mungu amempangia kwa kesho
Kubwa zaidi ni kutimiza makusudi ya Mungu wako kwa kumwabudu na kumuomba sana ili utimize kusudi la yule aliyekuleta hapa duniani
Wenye akili tumekuelewaKweli Vita ya madawa ya kulevya ni ngumu.. Ndg yangu Kibo10 Ww ulizaliwa Kama ulivyo sasa?
Namaanisha kwamba hukuanza kufungwa Nep,hukutambaa,hukutoa makamasi hukuchambishwa na wanawake?
Hata viongozi unaowaona wakubwa dunian walianzia chini Sana.
Au Ww Vita ya makonda imekuathili nn mpaka uchambue picha zake za nyuma?
Ifike mahari tuache unafiki, unafiki ni kitu kibaya Sana, Ukiwa mnafki hata Mungu hapendi hata sikiliza kilio cha mnafki
Kwa jinsi alivyo na majivuno lazima awakatae leo anaongea na watu wakubwa tena anawaita 'baba'Cjui anaikumbuka hiyo picha nahao aliopiga nao hiyo picha
amekulia maisha ya kilokole, alikuwa anamjua Mungu, maisha yake mengi amekuwa akizunguka kwenye mikutano ya injili, lakini kwa sasa, Mungu ndiye anajua.
kufuatilia madawa ya kulevya ndio kujikweza kwake?Naona Umesahau Kuwa Ni Mwenyezi Mungu Huyo Huyo Atakayemtoa Hero To Zero
Makusudi Ya Mungu Yatawaendea Wale Wanyenyekevu Na Siyo Wakujikuza
duhh!! akili zingineHupewi madaraka ukanone.Ile ni kazi ya utumishi.Kwanini unone kuliko matajiri zako?Wizi!
makonda hajui kuvaa? hahahaa chuki zingine shida tu wewe utamzidi?Hajui kuvaa tangu zamani.shati kubwa na suruali kavaa yenye malinda.ukute chini ina turn up.