Picha: Prof. Lipumba azindua Kampeni ya Nguvu Jimbo la Jangombe kule Zanzibar katika Uchaguzi Mdogo

knock knock

JF-Expert Member
Mar 8, 2018
326
384
Mkwenyekiti wa CUF Taifa ambaye anatambuliwa na Msajili wa vyama, Alhaj Prof Lipumba jana tarehe 18.10.2018 akizindua kampeni za nguvu katika uchaguzi mdogo Jimbo la Jangombe uwanja wa Baja kule visiwani Zanzibar kwa kumnadi mgombea wa Uwakilishi jimbo hilo badala ya yule aliyevuliwa uwanachama Dodoma Nd. Abdalla Diwani .

Picha kwa hisani ya waliokuwa karibu karibu na tukio hilo.
WhatsApp Image 2018-10-19 at 1.38.48 PM.jpeg

Pichani ni aliyekuwa mbunge wa Jamuhuri ya Muungano Habib Mnyaa sasa akiwa katika CUF Lipumba akihutubia umati uliohudhuria hapo.

WhatsApp Image 2018-10-19 at 1.38.53 PM.jpeg


Waandishi wa habari wakichukua picha na video za uzinduzi wa kampeni hizo.

Na: mwandishi wetu
 
Mkwenyekiti wa CUF Taifa ambaye anatambuliwa na Msajili wa vyama, Alhaj Prof Lipumba jana akizindua kampeni za nguvu katika uchaguzi mdogo Jimbo la Jangombe uwanja wa Baja kule visiwani Zanzibar kwa kumnadi mgombea wa Uwakilishi jimbo hilo badala ya yule aliyevuliwa uwanachama Dodoma Nd. Abdalla Diwani .

Picha kwa hisani ya waliokuwa karibu karibu na tukio hilo.
View attachment 903237
Pichani ni aliyekuwa mbunge wa Jamuhuri ya Muungano Habib Mnyaa sasa akiwa katika CUF Lipumba akihutubia umati uliohudhuria hapo.

View attachment 903238

Waandishi wa habari wakichukua picha na video za uzinduzi wa kampeni hizo.

Na: mwandishi wetu
Hongera zake.
Tunaona nyomi hilo alilofunga.
 
Bora ya Lipumba mara elfu kumi kuliko ya Julius.....
Lipumba akili zitamrejea muda ukifika..
 
Nakumbuka kipindi fulani kiongozi mmoja wa CUF aliulizwa "Mbona siku hizi sioni CUF ikifanya vurugu na siasa zake zimekua za kistaarabu?"

Akajibu "Tumeamua kwamba kule tuliposhinda (Zanzibar) tufanye maendeleo kwa wingi mpaka Tanzania Bara ituamini kwa kuona tunachofanya kule na kutupatia kura zao kwa wingi kama ilivyokua Zanzibar"

Maneno siyo exact ila maudhui yalikua hayo.

Nikapenda jibu, nikaipenda CUF. Kisha mwaka 2014-5 ukaja na yaliyobaki ni historia.
 
Kwa haya maelfu ya wakereketwa wa CUF, kuna haja kweli ya kuendelea na process za uchaguzi?
 
Funguo za Zanzibar anazo mwenyewe Maalim Seif
Hawa kina mnyaa ata waende kwa mganga au wafanye nini Zanzibar watachirimba
Yule jamaa amepiga siasa safi sana kule zanzibar na wote wamemkubali ata ao ccm hupigia kura CUF lakini hujifichaficha kwa kuogopa kwenye ajira zao.
 
Back
Top Bottom