Fisadidagaa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 961
- 233
Huyo Mzee Lowasa nae kafanyaje?
Katembelea eneo la tukio,ni harufu ya damu za watu,shame on you magamba.
Huyo Mzee Lowasa nae kafanyaje?
Aaah wanatuchanganya hawa.
Aaah sasa nimeelewa kumbe imetokana na rabsha rabsha alizokumbana nazo . Lkn haitoshi kusema alitaka kuuawa pengine kwa sababu ya watu kua wengi alisukumwa kidogo au sababu ya prukshani za watu kukimbia mabomu walimkwaa. Manake ukisema alitaka kuuawa ni taarifa nzito kidogo. Anyway hatuwezi kujua lengo la mwandishi lilikua nini.Wengine wanafanya promotion ya blog zao ila kuna ambao wame-comment alipita anga hizo akapata misukosuko ya hapa na pale
Aaah sasa nimeelewa kumbe imetokana na rabsha rabsha alizokumbana nazo . Lkn haitoshi kusema alitaka kuuawa pengine kwa sababu ya watu kua wengi alisukumwa kidogo au sababu ya prukshani za watu kukimbia mabomu walimkwaa. Manake ukisema alitaka kuuawa ni taarifa nzito kidogo. Anyway hatuwezi kujua lengo la mwandishi lilikua nini.