FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
mwaaaaaaaaaaaaaaaaah
kwa vile wameinama wote au?
nguli acha mikingamo yako, hiyo picha ni nzuri sana.
<!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->firstlady1<!-- google_ad_section_end --> nimekupa ma thanks ya kumwagika hadi last drop.
Wape big up bayanda huko uliko/
kwa vile wameinama wote au?
Nguli acha mikingamo yako, hiyo picha ni nzuri sana.
<!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->FirstLady1<!-- google_ad_section_end --> nimekupa ma thanks ya kumwagika hadi last drop.
Wape big up Bayanda huko uliko/
sasa limoyo lako limemdodondokea nani?
Unawapenda kwa vile wamejaaliwa?
Hapana ameipenda kwa kuwa wote ni WANAUME. Sawa?
Fidel80 nipe basi na ya kwako .....huwezi jua bwana
sema tena binamu Asprin
Unawapenda kwa vile wamejaaliwa?
Unakubali kwamba umependa watu na sio picha...sivyo?
I apologise FL1....lugha iko na shida kwa kichwa yangu.....hapa sasa nimeelewa...ebwana RR ni picha imenivutia hawa watu si team moja lakini tabasamu lao linaunganisha umoja wao.
naona wewe unadhani sivyo ndivyo:sick:
Hapana ameipenda kwa kuwa wote ni WANAUME. Sawa?
Ya kwake nini?Fidel80 nipe basi na ya kwako .....huwezi jua bwana