Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
na wewe donner set ni nini?Donner set ni meza broo? me kwetu Ngwengweneni tunajua ni vyombo dozen au idadi yoyot mkuu
mwalimu wetu mmoja alinifundisha hivohivo na hii inaitwaje
miss n makosa ya kimaandishi,, asantena wewe donner set ni nini?
Ahahaha! Bombadia mkubwa wewe.Duh..vibaya kichizi...
Ahahaha! Bomabadia mkubwa wewe.
Baba yako anavyo? Kule ikungu lya mbeshi si mlikuwa mnalia chakula kwenye "shkome"!
Vitu kama hivi ukihama inatakiwa uviache....🙂🙂🙂Habari!
Ninauza dinner set yenye viti vinne iko katika hali ya kawaida kwa bei ya tshs 140000/= inapatikana Mwanza.
Pia ninauza kitanda cha mninga futi 4×6 kiko kwenye hali ya kawaida kwa tshs 60000/= kinapatikana Mwanza.
Kwa maelezo zaidi piga 0754257807.
View attachment 421319View attachment 421320View attachment 421321View attachment 421322
Ninahisi inaitwa dining table ya viti sita, jamani wajuzi tuelimisheni.
Jamani jamani!Vitu kama hivi ukihama inatakiwa uviache....🙂🙂🙂
tetemeko jamani au mmesahau?Mkuu ulikuwa unaishi kwenye tope nini?
Hata hivyo kibiashara ulitakiwa uvifanyie usafi kwanza.