Yupi bora, anayechukua hela ndani na kuzificha nje au anayechukua nje na kuzitumia ndani?Haya yote nifitina tu kwani CCM ni wachangishaji wakubwa na kwa kiasi cha kuwalazimisha matajiri wawachangie la sivyo wanawawekea mizengwe biashara zao.Isitoshe, hata mifuko yetu ya jamii inakaribia kufilisika kwa CCM kuinyang'anya fedha kughalimia kampeni na shughuli zake za kila siku.Wakati huohuo, viongozi wake wanachukua fedha za nchi na kuzificha nje.Muda ukifika, tutawafanyia sapraizi kama ile JK aliyomfanyia mzee Kighoma Malima.