Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Safi sana sasa hivi babu anaonekana kijana....
najivunia kazi yangu
najivunia kazi yangu
Mi mwenyewe natafuta kibabu wallahi.........vijana hawa stress tupu
Mimi hapa kibabu, unasemaje; uko tayari manake na mimi natafuta chicks; manake na hawa wazee wenzetu cku hizi; mnh!Mi mwenyewe natafuta kibabu wallahi.........vijana hawa stress tupu
Mi ninae babu yangu tena ana pesa Mengi cha mtoto mbona,sema yeye hapendi kuonekana kwenye media,
Vip nikuunganishee??
Mwambie babu yako mwenyewe mimi hapa...c unanikumbuka enh!?Mi ninae babu yangu tena ana pesa Mengi cha mtoto mbona,sema yeye hapendi kuonekana kwenye media,
Vip nikuunganishee??