Haya mambo ngoja niyavutiye pumzi kwanza!
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote, nchi nzuri Tanzania jina lako ni tamu sanaa .....
Hapa sasa pamekolea, sijui wale wenye kudai Shs 94 billion watalipwa ktk kipindi hiki ambacho macho mengi, masikio na midomo pia na kamera, karamu na vinasa sauti vimeelekezwa Loliondo; au kuna mtu anafuatilia ili wasijelipwa ktk nyakati hizi. Mmmmmh,
Tanzania aaa, Tanzania aaaa, nakupenda Tanzania aaaaa