Picha: Mwigulu Nchemba afunga mafunzo ya UVCCM - Ruvuma

Picha: Mwigulu Nchemba afunga mafunzo ya UVCCM - Ruvuma



Nadhani ndio Maana wanaweka pesa zao SALAMA huko USWISI na hakuna atakayeweza kuzijua; MWIZI na hapohapo anajua ni handaki gani la kuzifichia; na bado Unga unauzwa Mchana na Usiku...

Lakini wanaoumia ni walala hoi wanatambaa mitaani kama Uncensored Scary Scoopies... just for the sake of CCM
Ni kweli wanaoumia ni walalahoi kwenye maandamano kwa sababu huwezi kuwa na nyumba South Africa, United Kingdom, USA, Dubai and Nairobi usiweze kuweka pesa za kificho kwenye mabenki ya Seychelles, Mauritius, Malta, Gibraltar, Channel Islands Luxembourg n.k

Huyu ndiye Mwenyekiti tajiri wa Chama Cha Siasa Tanzania ambaye hatosheki mpaka anachakachua katiba ya chama na kuairisha uchaguzi wa ndani ya chama ili aendeleze ulafi wa madaraka na pesa.

Hivi huyu Mwenyekiti tajiri alirudisha gari ya KUB kama alivyodai?.
 
Mwigulu ni laana za mauaji ndizo zinamsumbua!!!

944724_676756835683997_1375251900_n.jpg
 
Mwigulu ameenda kufunga mafunzo ya Ugaidi Ruvuma
 
Unamuuliza nani ili iweje.

CCM haina siasa za kilaghai na kikubwa kabisa, CCM haina vibaraka wanaotumikia makafiri kupata mtaji wa matumbo yao.

CCM haichakachui katiba yake bali inafanya kazi zake kupitia vikao halali.

CCM haijengwi na viongozi bali wanachama ndiyo wajenzi wake.

Jibu swali, umerudisha pesa za chama ulizoenda kutumbua nazo marekani?
 
Mohamed mwaupete aka taswira aka madelu aka mwigulu aka msukuma aka mnyiramba.
utakuwa ni majina mengi ya kufoji utakuwa na id zaidi ya kumi lakini ujue kuna kitu hutaweza kudanganya.
wewe ni lameck,ni mnyiramba na namna yako ya uandishi ya kuandika kidogo na kuweka picha ni sawa hata ungejiita mwaupete.masawe,taswira,premji au na mwandishi wetu sisi wenye akili tunakujua.
ni ujinga na kutojiamini kujipigia debe kwa style hiyo,kama wewe kiongozi una id nyingi hivyo nani anaweza kuwaamini wanaosaport ujinga huu kina mwanadiwani,marcopolo,habari ya mujini,ritz,faizafox,simiyu yetu nk?
 
hao vijana walikua wanapata mafunzo gani huko porini jamani? je nao wanatv na CD za alshabab?hao ni ukosefu w ajira kwa vijana ndo mana wamesombwa na kubwgwa huko.cdhani kama kijana mwenyeshuguli ya kufanya au kuhudhuria darasa anaweza kukaa huko wiki2!!!!
 
CDM nendeni Ruvuma kwa M4C kwa hao vijana iondoe upuuzi walioingiziwa. Hawa vijana ni wengi na wanaenda kwasababu za kutojitambua. Bila ya hivyo kutakuwa na shida baadae.
 
Mafunzo kama hayo yakifanyika kwa chadema linakuwa kosa kubwa ajabu, wataitwa majina mengi ajabu, chakushangaza mtu anaetuhumiwa kuua watu na kupanga njama mbovu za umwagaji damu ndiyo huyo huyo anaeda kufunga mafunzo ya green guide(kwa sasa yanaitwa mafunzo ya vijana wa ccm) this is not fair kabisa, ila Inshaallaaah siku zake zinahesabika maana kuna fununu kuwa anaandaa jeshi litakalo haribu uchaguzi wa serikali za mitaa2014, watu wengi watakamatwa hasa wagombea wapya wa udiwani na uenyekiti wa mitaa, , vitongoji na hata ubalozi wa nyumba 10.
Kwa M4c inaendelea kimya kimya ndani ya mikoa sugu bs mambo yote yataenda sawa na aibu ya ajabu itaikumba ccm pamoja na kudhamiria kuua upinzani
 
Acha kudharau wananchi kwa kuwafanya kuwa hawajui haki na wajibu wao.

Hakuna haki ya kidemokrasia inayozidi upigaji wa kura. Mwananchi anapokwenda kupanga foleni kwa masaa akisubiri kupiga kura hiyo ni ishara tosha kuwa anafahamu haki na wajibu wake kama wananchi mwema.

Wewe ndiyo unahitaji elimu ya uraia kwa sababu katika akili na fikra zako fupi, elimu ya uraia inakuwa inaeleweka kama mwananchi atawapa kura oppositions. This is nonsense and outdated mentality.

By the way, elimu gani ya uraia ipelekwe kwa wananchi na viongozi ambao wanadiriki kuchomoa kwa hila vipengele vya katiba ya chama ambavyo vinanyosha mkono wa demokrasia na kuwapa nafasi ya kuupokea wengine kama ilivyo katika ibara ya 40(2) ya katiba ya nchi 1977.
mkuu sikushangai, kwa sababu rushwa na ufisadi ndo ngao kuu ya ccm na wanaccm kiujumla! Wananchi wa mkoa wa ruvuma walio wengi wanafahamu vizuri kuliko unavyojua, ruvuma ukiwa na mapesa ndani ya ccm unaweza kuununua uongozi, wabunge wa ccm mkoa wa ruvuma wengi wameingia kwa mtindo huu! Kuhusu elimu ya uraia sio lazima ipelekwe na viongozi wa upinzani, hiyo inaweza kufanywa na NGOS mbalimbali pamoja na serikali.
 

Kama ni ZIARA ya KICHAMA ni lazima awatembelee MKUU wa MKOA na MKUU wa WILAYA? wakati ziara yake ilikuwa NAMTUMBO??

Kwahiyo ina Maana vyama vya Upinzani pia wakifanya ziara zao huwa wanapewa nafasi ya kuonana na Mkuu wa Mkoa wanoutembelea na kupewa CHAI ya MOTO na MAZIWA? na TV Pembeni? halafu Kukutana na Mkuu wa WILAYA?

Ni nani anayelipia hizo GHARAMA? ni PESA za RUZUKU????

Mbona Lema alipoenda London katika ziara ya kichama alikutana na yule meya anaesupport ushoga ofisini kwake aukuhoji?
 
Amesharudisha hela ya chama aliyotumia kwenda kudhurura nayo USA Kama alivyodai Nape?

Angewaeleza vijana kwa nini alivaa mavazi ya kijeshi wakati kisheria ni kosa je walitakiwa kujifunza nini kutoka kwake wakati anatakiwa kuhojiwa na vyombo vya dola kutokana na kosa hilo?
 
Nani alilipa hii gharama ya kupata tuzo ya aina yake ambayo haijawahi "kupewa mtu mwingine wa kawaida" duniani apart from USA President.

Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama ulaghai.
attachment.php

Kwi kwi kwi teh teh teh . Amma kweli wajinga ndio waliwao.
 
Sijui kama nimeona vibaya,Mwigulu amesimama na Vita Kawawa Mbunge wa Namtumbo ambaye ametuhumiwa kwa ujangiri wa Tembo na hajakanusha? ngoje nikawahi tembo langu kwa mama Havijawa kabla hawajatia maji
 
Kwi kwi kwi teh teh teh . Amma kweli wajinga ndio waliwao.

Hapo bado hujacheka kabisa...

Angalia hapa wanaojua kucheka....kicheko cha 'pesa' .....
Hapo ndio utajua kuwa 'wajinga' a.k.a. wanaojichekesha hapa JF, ndio waliwao...!!
BTW mbona kuna similarities sana kati yako na W.J. Malecela (kwa jinsi mnavyojichekesha hapa JF...??)
Just curious..!!!
chenge.jpg
 
Back
Top Bottom