ukwelinauwazi
Member
- Nov 24, 2014
- 71
- 91
Mbali na hilo,Uboreshaji wa Mfumo wa majini na Uchimbaji wa Visima ndio kipaumbele cha kwanza kwa Ole sendeka kwa Wananchi wa Simanjiro.
Pumba point
MiCCM kwa ukabila bana!!! Kwani ni nani alisema Wamasai wooote wana Muunga mkono Lowassa!? Hata Mtoa post ana taka kutuaminisha kuwa kuna Wamasai wana mkubali Magufuli!? Kwani hilo ni laajabu!? Amakweli Udini, Ukabila na Ushenzi woote unaanzishwa na kulelewa na CCM.
ukwekinauwazi asante kwa habari picha, kama kawaida, kampeni zetu hakuna kuahirisha kwa sababu yoyote ile, tumejipanga na vitu vinaenda kwenye mstari, maana huwezi kufanya kitu chochote bila utaratibu. #hapakazitu
wengine leo wamefika sinza wamesalimia dakika moja wakapita
MiCCM kwa ukabila bana!!! Kwani ni nani alisema Wamasai wooote wana Muunga mkono Lowassa!? Hata Mtoa post ana taka kutuaminisha kuwa kuna Wamasai wana mkubali Magufuli!? Kwani hilo ni laajabu!? Amakweli Udini, Ukabila na Ushenzi woote unaanzishwa na kulelewa na CCM.
MiCCM kwa ukabila bana!!! Kwani ni nani alisema Wamasai wooote wana Muunga mkono Lowassa!? Hata Mtoa post ana taka kutuaminisha kuwa kuna Wamasai wana mkubali Magufuli!? Kwani hilo ni laajabu!? Amakweli Udini, Ukabila na Ushenzi woote unaanzishwa na kulelewa na CCM.
sababu kuu ya watu kuikimbia chadema ni udini na ukanda!
Mgombea wenu wa uraisi atakosa kura sehemu nyingi kutokana na hilo!
Pamoja na kuwa na sera mbovu, lakini image ya jumla ya chadema haijengi sura kamili ya utaifa, kauli za Lowasa juu ya Walutheri, team ya juu ya chadema kubebwa na watu wa arusha na kilimanjaro ni vitu vinavyoleta utata sana ktk kufikia maamuzi ya kuipigia kura chadema.
Wananchi wa Simanjiro.Mwigulu "Nawaonya wote wanaofanya siasa zisizo za kistaarabu,Vyama vya siasa vipo kikatiba na Mikutano yake ipo kikatiba na Mavazi ya kila chama yapo kikatiba,Nawaombeni kama mkutano sio wa chama chako ila unapenda kwenda kusikiliza kinachozungumzwa jitahidi uwe mvumilivu,Ukianza kubishana na wenye mkutano unajitafutia matatizo"CCM imemleta Magufuli kwa malengo,Kama Taifa tunataka kukomesha swala la Rushwa,Kukomesha Utendaji wa kimazoea na Mbovu,Kukomesha Matapeli wanaotoa mbole na pembejeo mbovu kwa wakulima na wafugaji,Mtu sahihi anayeweza kushughulika na watu hao ni Magufuli tu.Nawaombeni mkamchague Magufuli kwa Maendeleo ya kweli ya taifa letu".Mamia ya Wananchi wa Kiteto kata ya Kibaya wakimsikiliza Comrade Mwigulu Nchemba jioni ya leo alipofika Kumnadi Mbunge mtarajiwa Ndg.Papian wa Chama cha Mapinduzi.Mkutano wa Mwisho kwa leo,Mwigulu Nchemba anamalizika kata ya Matui Jimbo la Kiteto.Anawasisitiza Wananchi kuunganisha nguvu zao kumpigia kura Magufuli kwa Urais,Ubunge na Udiwani pia uende kwa CCM.Ilani inayotekelezeka kwa Jimbo la Kiteto na Nchi nzima ni ya chama cha Mapinduzi.Picha na Sanga Festo Jr.