Munru JF-Expert Member Oct 19, 2010 1,340 664 Feb 29, 2012 #4 huyu msanii wa uongo jafarii akiiona hii picha atazimia tena ha ha ha lol
Candid Scope JF-Expert Member Nov 8, 2010 11,890 6,898 Feb 29, 2012 #5 paty said: huyu msanii wa uongo jafarii akiiona hii picha atazimia tena ha ha ha lol Click to expand... Kwa nini azimie wakati wanasiasa na wanaharakati wanapokuwa pamoja kufanya tafakuri ya mustakabali wa taifa letu?
paty said: huyu msanii wa uongo jafarii akiiona hii picha atazimia tena ha ha ha lol Click to expand... Kwa nini azimie wakati wanasiasa na wanaharakati wanapokuwa pamoja kufanya tafakuri ya mustakabali wa taifa letu?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Feb 29, 2012 #6 ..............Nadhani hoja yako ni zaidi yakisiasa...............na log off
Anko Sam JF-Expert Member Jun 30, 2010 3,200 820 Feb 29, 2012 #7 Hapa itikati za kisiasa hazina nafasi, wanaonyesha utanzania zaidi!
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Feb 29, 2012 #9 Safari_ni_Safari said: Na hawa ni kina nani? Click to expand... kaka na dada :lol:
COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Feb 29, 2012 #10 Emanuel Makofia said: kaka na dada :lol: Click to expand... mbona dada mrefu sana
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Mar 1, 2012 #12 Emanuel Makofia said: kaka na dada :lol: Click to expand... Dah!!! hivi ilikuwa lazima wasogeleane kiasi hicho.
Emanuel Makofia said: kaka na dada :lol: Click to expand... Dah!!! hivi ilikuwa lazima wasogeleane kiasi hicho.
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Mar 1, 2012 #13 courtesy said: mbona dada mrefu sana Click to expand... baba mama tofauti
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Mar 1, 2012 #14 candid scope said: Click to expand... mbona nyerere yuko mwenyewe?
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Mar 1, 2012 #15 huyu dada ana fettish na rappers(gangsta rappers)..nawaonea geleee......
Opaque JF-Expert Member Oct 24, 2008 1,359 719 Mar 1, 2012 #16 Mbona dada pekee ndo amemshika kaka (begani), inaashiria nini?
shizukan JF-Expert Member Jan 16, 2011 1,158 563 Mar 1, 2012 #17 Saint Ivuga said: mbona nyerere yuko mwenyewe? Click to expand... Nyerere alikuwa kikazi zaidi. R.I.P, ungekuwepo tusingefanyiwa hivi na Kikwete.
Saint Ivuga said: mbona nyerere yuko mwenyewe? Click to expand... Nyerere alikuwa kikazi zaidi. R.I.P, ungekuwepo tusingefanyiwa hivi na Kikwete.