chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Wapenzi wangu niombeeni.
Tumevamiwa usiku wa leo na nimeibiwa gari langu na mpaka sasa hivi tumeshindwa kutoka ndani, tulifungiwa kwa nje, majirani wanasaidia kubomoa makufuli.
Wapendwa wetu tumeibiwa Gari aina ya Noah T896 DGA. Maeneo ya Mbezi Mpiji Magohe. Tunaomba mtusaidie kurusha kwa magroup inaweza kutusaidia kulipata.
Namba za simu ni 0713 600 223 AU 0786 630 066
Tumevamiwa usiku wa leo na nimeibiwa gari langu na mpaka sasa hivi tumeshindwa kutoka ndani, tulifungiwa kwa nje, majirani wanasaidia kubomoa makufuli.
Wapendwa wetu tumeibiwa Gari aina ya Noah T896 DGA. Maeneo ya Mbezi Mpiji Magohe. Tunaomba mtusaidie kurusha kwa magroup inaweza kutusaidia kulipata.
Namba za simu ni 0713 600 223 AU 0786 630 066