RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,840
- 129,757
Ukose usingizi wakati kuna insurance? Kitu cha mwisho kufikiria ni gari kuibwa,tena wezi watakuwa wamenisaidia kubadili gari.yaani inabidi mtu ulale ndani ya gari sasa
gari zenyewe mkopo
Ukose usingizi wakati kuna insurance? Kitu cha mwisho kufikiria ni gari kuibwa,tena wezi watakuwa wamenisaidia kubadili gari.yaani inabidi mtu ulale ndani ya gari sasa
gari zenyewe mkopo
ukiona hivyo ujue Soko lipoUwizi wa magari umerudi kwa kasi kma miaka ya 90