Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Ndio maana niliachana na magari ya Japan, funguo unaweza cheza nazo unavyotaka. Gari la mkoloni huwezi, huko alishatoka.Mbona tunatishana!? Maana nimesoma hapa kuwa bosi wa polisi naye anawalaumu viongozi kwa kuingiza siasa kwenye masuala nyeti. Au ndio majambazi nao wana take advantage hiyo!