hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 529
- 317
Mkuu ubarikiwe sana hii Misukule kinafanya kazj ya kujifariji tu hapa haya we Kimburukutu mdanganyifu kuja hapa utwambie kwanini utuwekee picha kabla kiongozi hajafika kuhutubia??
Mods kama mko fair tafadhari pandisheni hii picha hapo juu kwa kwa huyu mnafki mleta mada.
cc Invisible Moderator
BACK TANGANYIKA
Hiyo hapo!
Attachments
Last edited by a moderator: