PICHA: Mkutano wa UKAWA Mwanza leo

PICHA: Mkutano wa UKAWA Mwanza leo

Mkuu ubarikiwe sana hii Misukule kinafanya kazj ya kujifariji tu hapa haya we Kimburukutu mdanganyifu kuja hapa utwambie kwanini utuwekee picha kabla kiongozi hajafika kuhutubia??

Mods kama mko fair tafadhari pandisheni hii picha hapo juu kwa kwa huyu mnafki mleta mada.

cc Invisible Moderator

BACK TANGANYIKA

Hiyo hapo!
 

Attachments

  • 1410209485540.jpg
    1410209485540.jpg
    29.5 KB · Views: 184
Last edited by a moderator:
Kitaalam:kivuli cha kitu kinapokuwa upande Wa kushoto mwa kitu kilichopigwa picha (object) maana yake jua lilikuwa mashariki yaani upande Wa kulia hivyo huwa ni asubuhi. Katika picha hii tazama kivuli cha toroli hapo utagundua picha ilipigwa majira ya saa tano kuelekea sita. Kwa kuwa kivuli hicho kipo upande Wa kushoto hivyo jua lilikuwa upande Wa kulia ( mashariki)
 
wewe mtoa mada ni kubwa la uongo.star tv sa 2 ucku wameonesha mkutano wa ukawa ukihutubiwa na maalim seif na watu walikuwa wengi kupita maeleze.one hata aibu basi kusema uongo wazi wazi mchana kweupe.
 
Leo nilikuwa Mwanza, nikakutana na mkutano wa Ukawa..... Kwa waliokuwepo waliniambia utahutubiwa na Maalim Seif, ni mkutano wa Ukawa Japokuwa niliona bendera za vyama viwili tu Cuf na Chadema. Nccr wanijiweka nyuma au ni wazembe wenyewe ( nilijiuliza. Cha kusisimua Zaidi ni idadi ya watu. Tazama Picha.
attachment.php
uliyepost hii picha huna akili.huu ni mkutano wa act na sio ukawa mwanza.tumia akiki tulikuwepo.sisi sio watoti wa kudanganywa
 
Kitaalam:kivuli cha kitu kinapokuwa upande Wa kushoto mwa kitu kilichopigwa picha (object) maana yake jua lilikuwa mashariki yaani upande Wa kulia hivyo huwa ni asubuhi. Katika picha hii tazama kivuli cha toroli hapo utagundua picha ilipigwa majira ya saa tano kuelekea sita. Kwa kuwa kivuli hicho kipo upande Wa kushoto hivyo jua lilikuwa upande Wa kulia ( mashariki)

Exactly
 
uliyepost hii picha huna akili.huu ni mkutano wa act na sio ukawa mwanza.tumia akiki tulikuwepo.sisi sio watoti wa kudanganywa

Act wanatumia Bendera za Chadema na Cuf siku hizi??? Umeshindwa hata kuzoom??
 
Mnatuletea picha za uchaguzi wa mwaka 2010. Acheni uongo.

Picha nimeipiga Saa Tisa mchana leo kwa kutumia simu ya Mwenzangu, yangu haikuwa na chaji nikajitumia kwa Whaatsap nikasogea sehemu maarufu inaitwa Villa nikatia simu chaji nikaileta humu. Hata hivyo hakuna ubaya nimezungumzia Nyomi mliyojaza tu.
 

Attachments

  • 1410211667108.jpg
    1410211667108.jpg
    43 KB · Views: 109
Huyu jamaa kapiga picha labda saa tano wakati dmda wa mkutano ulikuwa kuanzia saa nane. Asidanganye umma mimi mwenyewe nilikuwa kiwanjani watu walikuwa wengi sana.

Mimi nidanganye ili iweje??? Leo hadi Band ilikuwepo kwenye uwanja wa mkutano.... Na ndiyo iliyonivuta baada ya kusikia muziki. Nilipoona bendera za Cuf na Chadema nikastaajabu ile nyomi.
Muda wa Picha nilipoipiga huo
 
Picha ya kwanza niliyoileta Ina bendera ya vyama viwili Cuf na Chadema (Zoom utaziona) Picha ya pili mliyoileta Ina bendera ya chama kimoja tu ( Cuf ) inawezeka hii ya pili mlioileta ni ya mkutano wa Cuf ila ya zamani. Niliyoileta mimi ile ya kwanza ni ya mkutano wa Ukawa ndomana bendera za vyama vyote viwili zipo. Kasoro NCCR nami nilijiuliza Kwanini bendera yao haikuwepo!!.
 
Kwahakika utakuwa unautahaira Wa macho wapi panaonyesha bendera za vyama

Zoom utaona.... He he he Sijui unatumia kifaa gani kuangalia hizo Picha lakini.
 
Mijitu mingine bwana, kama inagongwa vile. Yaani ina kazi ya kulazimisha Za uso.
Eti unaenda mkutanoni saa Saba watu wanafunga vyombo halafu unapiga picha kuleta hapa.
Ova.
 
Kitaalam:kivuli cha kitu kinapokuwa upande Wa kushoto mwa kitu kilichopigwa picha (object) maana yake jua lilikuwa mashariki yaani upande Wa kulia hivyo huwa ni asubuhi. Katika picha hii tazama kivuli cha toroli hapo utagundua picha ilipigwa majira ya saa tano kuelekea sita. Kwa kuwa kivuli hicho kipo upande Wa kushoto hivyo jua lilikuwa upande Wa kulia ( mashariki)

Nimepiga hii Picha saa tisa mchana
 

Attachments

  • 1410213754971.jpg
    1410213754971.jpg
    30.5 KB · Views: 97
  • 1410213859251.jpg
    1410213859251.jpg
    67.4 KB · Views: 97
Ili kuonyesha uhalisia mpiga picha angepiga picha viongozi wakihutubia then aje na maneno yake hayo, watu wakiandaa jukwaa la mikutano wanapigwa picha kana kwamba ndiyo mkutano wenyewe...sasa anayefanya hivyo ni kwa manufaa ya nanii, wananchi wanielewa UKAWA, wanaipenda na wanawaunga mkono. Matumbo ya ufisadi na dhuluma saa hizi imevurugika.
 
Kitaalam:kivuli cha kitu kinapokuwa upande Wa kushoto mwa kitu kilichopigwa picha (object) maana yake jua lilikuwa mashariki yaani upande Wa kulia hivyo huwa ni asubuhi. Katika picha hii tazama kivuli cha toroli hapo utagundua picha ilipigwa majira ya saa tano kuelekea sita. Kwa kuwa kivuli hicho kipo upande Wa kushoto hivyo jua lilikuwa upande Wa kulia ( mashariki)

Shule yako ya brn nini? Usikariri inategemea position ya camera iko wapi..!
 
Picha nimeipiga Saa Tisa mchana leo kwa kutumia simu ya Mwenzangu, yangu haikuwa na chaji nikajitumia kwa Whaatsap nikasogea sehemu maarufu inaitwa Villa nikatia simu chaji nikaileta humu. Hata hivyo hakuna ubaya nimezungumzia Nyomi mliyojaza tu.

Sasa ndugu yangu saa tisa ya kanda ya ziwa ni ni sawa na saa nane ya dsm kasoro dk 15. Jua linakuwa bado kali sana..! watu wanaenda mkutanoni saa 11.
 
Leo nilikuwa Mwanza, nikakutana na mkutano wa Ukawa..... Kwa waliokuwepo waliniambia utahutubiwa na Maalim Seif, ni mkutano wa Ukawa Japokuwa niliona bendera za vyama viwili tu Cuf na Chadema. Nccr wanijiweka nyuma au ni wazembe wenyewe ( nilijiuliza. Cha kusisimua Zaidi ni idadi ya watu. Tazama Picha.
attachment.php

akili za kigambagamba!
 
Sasa ndugu yangu saa tisa ya kanda ya ziwa ni ni sawa na saa nane ya dsm kasoro dk 15. Jua linakuwa bado kali sana..! watu wanaenda mkutanoni saa 11.

Nilimjibu yule aliyesema nilipiga saa Sita.
 
Back
Top Bottom