PICHA: Mkutano wa UKAWA Mwanza leo

PICHA: Mkutano wa UKAWA Mwanza leo

Ili kuonyesha uhalisia mpiga picha angepiga picha viongozi wakihutubia then aje na maneno yake hayo, watu wakiandaa jukwaa la mikutano wanapigwa picha kana kwamba ndiyo mkutano wenyewe...sasa anayefanya hivyo ni kwa manufaa ya nanii, wananchi wanielewa UKAWA, wanaipenda na wanawaunga mkono. Matumbo ya ufisadi na dhuluma saa hizi imevurugika.

Hakikuwa kipindi cha kuandaa majukwaa, majukwaa yalishafungwa, wafunge jukwaa saa tisa??
 
Leo nilikuwa Mwanza, nikakutana na mkutano wa Ukawa..... Kwa waliokuwepo waliniambia utahutubiwa na Maalim Seif, ni mkutano wa Ukawa Japokuwa niliona bendera za vyama viwili tu Cuf na Chadema. Nccr wanijiweka nyuma au ni wazembe wenyewe ( nilijiuliza. Cha kusisimua Zaidi ni idadi ya watu. Tazama Picha.
attachment.php

Hii picha Mkuu ndo uliyopigia kwenye mapaja ya mamako? AIBUUUUUU!!!
 
Nilimjibu yule aliyesema nilipiga saa Sita.

Mkuu mbona mbishi sana, kwa hiyo hata nyomi iliyoonyeshwa na star Tv nayo ni uongo!? kubali yaishe anayetaka picha zaidi anitumie namba yake nimtumie kwa wasapu ninazo kibaao.
 
Mkuu mbona mbishi sana, kwa hiyo hata nyomi iliyoonyeshwa na star Tv nayo ni uongo!? kubali yaishe anayetaka picha zaidi anitumie namba yake nimtumie kwa wasapu ninazo kibaao.

Hujaelewa uzi wangu?? Hata mimi si nimesema wamepiga nyomi!!.. Na nikaweka picha ya nyomi!!!... Ha ha ha ha
 
Mimi nidanganye ili iweje??? Leo hadi Band ilikuwepo kwenye uwanja wa mkutano.... Na ndiyo iliyonivuta baada ya kusikia muziki. Nilipoona bendera za Cuf na Chadema nikastaajabu ile nyomi.
Muda wa Picha nilipoipiga huo
Dume zima unakuwa liongo hata aibu huna,tumejionea wenyewe Star TV jana usiku.Endeleeni kushupaa tu.
 
attachment.php


hii ni baada ya picha kwanza ambayo ilikuwa ni maandalizi
 
Back
Top Bottom