Tunachoju Mbeya iko mpakani na Zambia, Arusha iko mpakani na Kenya na kote huko mmeshuhudia mabadiliko ya majirani zenu hao. Faida ya mageuzi mnaijua ninyi, Tutashukuru mkiwa vinara wa Mageuzi mtukomboe wenzenu tumekaliwa na Magamba yanatumaliza Jamani. Wembe ule ule,
Zzk kweli kakosea pakubwa sana..hajaikosea CDM peke yke tu bali watanzania wote, LAKINI tusifike hapo kumwombea kifo. Kama alisaliti cdm kwa ccm basi tumshawish tu ahamie ccm basi.
Kuna asikali police alikuwa anamlekodi na kumpiga picha Dr. wa ukweli alipokuwa anatoa hotuba kwa ajili ya kubambikia kasi Dr. Slaa. Wanambeya walitaka kumpa kichapo cha kumgombania kama mpira wa kona, busara za Dr. Slaa zimemuokoa aspigwe na wananchi.
Big up Mbeya, Jiji la ukombozi mamboleo, kama Lusaka! Big up Makamanda wa chopa tatu. Moto mkali wa Operesheni Pamoja Daima, unawaunguza mawakala wote wa Operesheni "MM", kila kona ya nchi! Chochea moto, chochea motoooooo!!!!!
Najaribu kupata picha huko lumumba kuna hali gani,Kila nikimfikiria mzee wa Ndovu naona kama muda sio ataenda kutibiwa south.....presha juu......hongera CDM mnazidi kudhihirisha ubora wenu,mnazidi kutuaminisha hatuhitaji chama mbadala wa CDM kama mpika majungu mmoja alivyosema.