Ritz shoga yako ameshapata, vipi wewe second citizen salama lakini!!Yakhe yameshakuwa hayo tena? Tukuuwe kisa chake ni haswa? Mimi nimekurabisha kwenye mahaba ule raha utakaa kwa shemeji mpaka lini? Bikini ya x mass umepata?
Chama
Gongo la mboto DSM
Safu nzima ya viongozi imejaa wazee!.. kwao mchanganyiko na vijana ni sumu!
Sugu Rais wa Mbeya
Sasa Sugu kwa nini alitaka kurusha ngumi?
SUGU 4 MBEYA. hivi kwenye huo mkutano wa ccm mgeni rasimi alikuwa mzee wa visiwa vya zimbabwe mr mulugo?
hivi ni lazima kila kitu ujibu ?Nimeaga kwetu na huna uwezo wa kuniuwa na ukithubutu kwenye ukoo wenu hatobaki hata panya.
Nakushangaa wewe unayenijibu mimi, karumekenge wewe.hivi ni lazima kila kitu ujibu ?
Nakushangaa wewe unayenijibu mimi, karumekenge wewe.
Kafie Uyole Mbulula wewe.Mimi karumekenge wewe mtu. kweli wee mwendawazimu unajibishana vp na kiumbe ambacho hamtumii lugha moja.
Nasisitiza unapokosa hoja kaa kimyaa.
Kafie Uyole Mbulula wewe.
Ritz shoga yako ameshapata, vipi wewe second citizen salama lakini!!
Wote tumeziona picha na bado zipo hapa, sijaona sehemu Sugu aliporusha au alipotaka kurusha ngumi.