Nilitegemea kwenye miaka hamsini ya uhuru tuzindue hata Baiskeli iliyotengenezwa Tanzania....Kumbe hata magari tunatumia Mercidez ya Ujerumani waliotutawala? Aibu kweli mie siji uwanjani!
tumeshindwa kutengeneza viberiti KIBO MATCH GROUP MOSHI wamefunga ndo hiyo mijiGari .....labda tuanze na level ya tooth pick