PICHA: Mapokezi Ya Mama Regina Lowassa SONGEA

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,786
Mabadilikooooo.......

Malizia kamanda!!

Leo mama yetu kipenzi, Mama Regina Lowassa ameshatua mkoani Ruvuma na atatembelea wilayani lengo kuu likiwa kuwaombea kura wagombea wa UKAWA kuanzia ngazi ya Udiwani mpaka Urais.

Kwa nafasi ya kipekee kabisa kura za Urais anaomba ziende kwa mgombea wa CHADEMA na Umoja wa Ukawa Mhe Edward Ngoyai Lowassa ambaye pia ni mume wake.

Mabadilikoooo....

Malizia kamanda...

Lowassa.






 
Hazifunguki kwa simu... ziweke fb alafu ukopi u paste humu
 
Moderator hizo picha hazionekani...

Nikijaribu kufungua naambiwa niwasiliane na wewe...
 
Last edited by a moderator:
Hawa mods nao sijui wamekula mounga wa magamba? Mbona hazifunguki na wala jamaa hata hawashughuliki kurekebisha! Nyie mods angalieni sana tutawapiganiza na magufuli wenu hiyo trh 25 oohhhh shauri yenu!!
 
yaani uyu mama simpendi jamani....cjui kwa nini nimeingiwa na iyo roho....simuoni kabisa akiwa realistik
 
Tupia Fb huku jamaa naona ndo mambo ya true Colour
 
Mama yetu Mpendwa Mungu wa Mbinguni akuongoze na akufanikishe katika yote. Nakemea nguvu za ibilisi shetani dhidi yako kwa damu ya Yesu!
 
Lowasa alitoa machoz ya furaha songea jinsi kinamama walivyo mpokea

Tuchek lio mama kwa mama dadek NCHIMBI chaliiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…