Leo mama yetu kipenzi, Mama Regina Lowassa ameshatua mkoani Ruvuma na atatembelea wilayani lengo kuu likiwa kuwaombea kura wagombea wa UKAWA kuanzia ngazi ya Udiwani mpaka Urais.
Kwa nafasi ya kipekee kabisa kura za Urais anaomba ziende kwa mgombea wa CHADEMA na Umoja wa Ukawa Mhe Edward Ngoyai Lowassa ambaye pia ni mume wake.
Hawa mods nao sijui wamekula mounga wa magamba? Mbona hazifunguki na wala jamaa hata hawashughuliki kurekebisha! Nyie mods angalieni sana tutawapiganiza na magufuli wenu hiyo trh 25 oohhhh shauri yenu!!