Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Mke wa Mgombea Urais kupitia umoja wa UKAWA Mama Regina Lowassa akiwa katika mikutano ya kuongea na akina mama Kata ya Ndungu katika Jimbo la Same Mashariki na kumaliza mkutano mwingine jioni hii.
Kwenye viwanja vya Uhuru Peak ndani ya Manispaa ya Moshi mjini.
Regina Lowassa, leo kafanya zaidi ya mikutano 5 sehemu mbalimbali.
Kwenye viwanja vya Uhuru Peak ndani ya Manispaa ya Moshi mjini.
Regina Lowassa, leo kafanya zaidi ya mikutano 5 sehemu mbalimbali.