Picha: Mama R. Lowassa akiwa kata ya Kalenga

Picha: Mama R. Lowassa akiwa kata ya Kalenga

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Mkutano wa Mama Regina Lowassa akiongea na akina mama wa Iringa vijijini katika Kata ya Kalenga...
 

Attachments

  • 1444818519577.jpg
    1444818519577.jpg
    55.3 KB · Views: 3,099
  • 1444818537979.jpg
    1444818537979.jpg
    84.5 KB · Views: 2,810
  • 1444818563578.jpg
    1444818563578.jpg
    44.6 KB · Views: 2,652
  • 1444818581941.jpg
    1444818581941.jpg
    94.2 KB · Views: 2,534
  • 1444818612687.jpg
    1444818612687.jpg
    73.8 KB · Views: 2,580
Wapi Sindu ********?! Na Janeth ******** je?!!

Huyu mama Regina anasitahili kuwa First lady,yupo so humble na mchapa kazi,hana makuu kama yule Mama Mkwere anayefaa nguo lundo,Mama Regina yupo very simple but attractive na hata kwa muonekano wa taswira yake tu unaona alivyo na roho nzuri na nyeupe!!!
 
Aisee huyu mama kiboko

huko kuhangaika na kutangatanga hovyo bila kujitafakari ndiyo kuwa kiboko mkuu? vitu vingine huhitaji hata kuwa na phd kujua kuwa hakiwezekani ila tuendelee tu kujipa kama siyo kujitia moyo. siasa za tanzania zinahitaji uwe na jicho la ndege aina ya tai kuweza kuzielewa vizuri la sivyo utabaki tu kutokwa na mipovu huku ukibishana hovyo na watu katika daladala na vijiweni huku umasikini wako ukipiga tu mark time na hali yako ya kimaisha kuzidi kudidimia huku wale unaowashabikia kwa mihemko wao wakila tu raha zao ulaya na sehemu mbali mbali za dunia.
 
huko kuhangaika na kutangatanga hovyo bila kujitafakari ndiyo kuwa kiboko mkuu? vitu vingine huhitaji hata kuwa na phd kujua kuwa hakiwezekani ila tuendelee tu kujipa kama siyo kujitia moyo. siasa za tanzania zinahitaji uwe na jicho la ndege aina ya tai kuweza kuzielewa vizuri la sivyo utabaki tu kutokwa na mipovu huku ukibishana hovyo na watu katika daladala na vijiweni huku umasikini wako ukipiga tu mark time na hali yako ya kimaisha kuzidi kudidimia huku wale unaowashabikia kwa mihemko wao wakila tu raha zao ulaya na sehemu mbali mbali za dunia.
Pumba pumba rubbish mkojo
 
Back
Top Bottom