knock knock
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 326
- 384
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Shariff Hamad ameibua hisia kali na za ndani kisiwani Pemba kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CUF akiwa anamaliza ziara yake ya siku 4 kisiwani Pemba.
Ikumbuke ziara hii ilianza rasmi siku ya tarehe 27.3.2018.
Jionee picha mbali mbali akiwa katika vikao na mikutano ya ndani pamoja na wanachama wapenzi na mshabiki mbali mbali katika kisiwa chenye marashi ya karafuu Pemba.
Na: Juma K.Hamad (MB)
Ikumbuke ziara hii ilianza rasmi siku ya tarehe 27.3.2018.
Jionee picha mbali mbali akiwa katika vikao na mikutano ya ndani pamoja na wanachama wapenzi na mshabiki mbali mbali katika kisiwa chenye marashi ya karafuu Pemba.
Na: Juma K.Hamad (MB)