johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,946
- 141,921
Yule hana bei tofauti na makamanda wa Ufipa!CCM wameshindwa kabisa kumrudisha Maalim kundini?
Yule hana bei tofauti na makamanda wa Ufipa!CCM wameshindwa kabisa kumrudisha Maalim kundini?
hana bei.CCM wameshindwa kabisa kumrudisha Maalim kundini?
Kweli nimeamini ccm ni chama cha mapoyoyo. Mnapindua meza Zanzibar halafu mnajisifia ushindi.
Atakuwa juha kama alikubali kunyang'anywa ushindi mchana kweupe.Fanyeni uchaguzi huru ndiyo mtamjua Maalim Seif ni nani? 2015 JK, JPM na JECHA walimnyang'anya ushindi mchana kweupe.
Maalim seif akiwa kisiwani Pemba Chakechake leo tarehe 11 Dec 2019 akiwa katika mikutano ya ndani kuimarisha chama chake kipya cha ACT.
View attachment 1288679
View attachment 1288680
View attachment 1288682
Inamaana wewe ndie Mungu unayepanga?Pemba wanamuendekeza Maalim seif hawajui wanapoteza muda tu
Huyo Maalim seif hawezi kuwa kiongozi wa Zanzibar labda mbingu zishuke
God first
Na jaribuni kusema mumnunue kwa bei anayotaka uangalie kama hakutakuwa na ccm tupu Zanzibar. Na akiamua kusema aunde chama chengine basi ccm mtaisoma namba kwa kila pembe kwa Zanzibar. Alipo wananchi wapo.Yule hana bei tofauti na makamanda wa Ufipa!
Hivi alimaliza ziara?hatukupata mrejesho wa katibu mkuu wa chama cha kijani alipozuru pemba.
hatukupata mrejesho wa katibu mkuu wa chama cha kijani alipozuru pemba.
Nadhani ni kumsifu ila Mjinga ndio sahihiasiyejitambua
Pemba wanamuendekeza Maalim seif hawajui wanapoteza muda tu
Huyo Maalim seif hawezi kuwa kiongozi wa Zanzibar labda mbingu zishuke
God first
Haki gani anadai wakati anapokea mamilon ya pesa Kila mwezi kutoka serkalini?
Akitoka hapo anaenda kuwadanganya wa pemba wasio jua kitu
God first
Kwahiyo ww ni Mungu unajua kila kitu kinachotokea???Pemba wanamuendekeza Maalim seif hawajui wanapoteza muda tu
Huyo Maalim seif hawezi kuwa kiongozi wa Zanzibar labda mbingu zishuke
God first