Kifupi ni kwamba anaenda kuwaharibia ccm! Ni mtu mchafu ambaye hawezi kusafishwa! Ni kama mavi yanayopuliziwa pafyumu! Anaenda kuchafua hali ya hewa na kukamilisha anguko la ccm huko.
Wakati eneo analofanyia mkutano leo, yaani Kikatiti, hakuna maji kabisa, Lowasa akiwa waziri wa maji aliyakusanya maji huko Meru na kujenga bomba kubwa kuyapeleka Monduli huku wananchi wa vijiji vya Meru hawaruhusiwi hata kulisogelea.
Wakazi wa Meru ambao walitaka Sarakikya akawawakilishe bungeni, EL alitumia jeuri ya fedha kuhakikisha anampitisha Mkwe wake kwenda kumuongezea mtandao wake!
Nitakuwepo mkutanoni Kikatiti kusikiliza tutaelezwa nini na fisadi huyu, akiwa na Mtoto aliyezunguka nchi nzima akimwita gamba huku akisisitiza kwamba lazima ajiondoe kwenye nyazifa za chama! Wakati wanaccm wakisubiri ajiondoe, leo watamwona akimsaidia mkwewe aingie!
Yangu macho!?