Just shave, shave that exit hole..., clean it...hv lubricant ready, TILL YOU SING... UKAWAA... PIPOOOOOZ...!!!
Turning nasty...!!!
Lowassa is THE PRESIDENT...!!!
Maswali peleka kwa mama yako...!!!
Kuendelea kuiamini ccm ile ile yenye ahadi zile zile ni kujitakia laana...
Watanzania kila kona ya nchi wanataka mabadiliko njenya ccm...!!
Mkutano wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, katika mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara...
NB: Hapa hakuna wasanii wala kusomba watu...
Updates za Rais wetu zinachelewa sana ,ni kama vile wasaidizi wake hawajajipanga.
Hapo vipi
Kuendelea kuiamini ccm ile ile yenye ahadi zile zile ni kujitakia laana...
Watanzania kila kona ya nchi wanataka mabadiliko njenya ccm...!!
Shikamoo Lowassa na Sumaye. Ninawaombea Mungu awape afya tele.
Wahuni wamerundikana mahali halafu eti kuokoa chama. Hata sisimizi huwa wengi.Hivi Makamba senior, Mukama, Mkapa, Warioba, Msuya, Baba yake Le Mutuz, wapo dunia hii kweli? mbona hawatoki mafichoni kuja kuokoa chama chao? Usikute Lowassa ana kura kadhaa kutoka kwenye list hii.
And that's all you got huh ??? You need Jesus you motherfk ..........if people like you represents Ukawa man I need to second guess my self ,I definitely should be on the wrong team
I can't say no bad words to your mama ,I was raised to respect women
Atakae Amka Asubui ya oct 25 Kwenda Kuipigia Kura Ccm Mtu Huyo Analaana, Hata Mungu Atamshangaa Mtu Huyo.
Tembo Watamlaani. Twiga Watamlaani. Wamama Wajawazito wanao Lala Chini Wakati wa Kujifungua Watamlaani. Watu Wanaokufa Kwa Kukosa Huduma Bora za Afya Watamlaani. Watu wanaofukuzwa Kama Wakimbizi Katika Aridhi Yao Na kupewa Wawekezaji Watawalaani.
je! utakuwa Tayari Kuwa Mwathirika Wa Laana Hizo? Epuka Laana Hizi Chagua UKAWA. Kwa Maendeleo Mapya ya Uhakika.
Zingatieni kauli hii.
Lowasa ataishia kuwa Rais wa mitandaoni tu. Watanzania si wajinga wa kiwango mnachodhani nyie.
Usimuhushishe Bwana Mungu wako hapo. Mimi nitampigia magufuli na familia yangu. Tunaipenda Tanzania.
pole sana bwana mdogo maana huwez sema hakuna namna huku kikundi cha wahuni wachache tu ndio wanamuunga mkono lowassahakuna namna ccm inaweza kupita tena! Sote tuko na taswira inayoeleweka kuwa ni nani anakubalika na wenye nchi!
pole sana bwana mdogo maana huwez sema hakuna namna huku kikundi cha wahuni wachache tu ndio wanamuunga mkono lowassa
magufuli ndio rais wetu
Mkutano wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, katika mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara...
NB: Hapa hakuna wasanii wala kusomba watu...