Picha: Lowassa akiwa Mererani, Simanjiro mkoani Manyara leo

Picha: Lowassa akiwa Mererani, Simanjiro mkoani Manyara leo

Zingatieni kauli hii.
Lowasa ataishia kuwa Rais wa mitandaoni tu. Watanzania si wajinga wa kiwango mnachodhani nyie.

wewe ni mtanzania.?
watanzania halisi hatukuelewi, ni bora tukaenda kuwaswalia vijana na wazee wote wasio yataka mabadiliko dua ili mwenyeezi Mungu hawajaalie maisha mema peponi.. tarehe 20 octoba15
 
Mkutano wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, katika mji wa Mererani, Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara...

NB: Hapa hakuna wasanii wala kusomba watu...
Nakupongeza ila siku hizi mnacherewa sana kutuwekea mwendelezo wa mikutano hii mapema na kuacha CCM wanatamba sana humu, kwa mfano uzi huu umeuweka zaidi ya saa tatut usiku.
 
Wataisoma sana, twaweza tushawaweza hapa na data za kupest toka kwa makamba
 
Juzi lindi walisema kama lowassa mgonjwa mpelekee mama yako uone kama hatakuletea mdogo wako. Nakushauri fuata ushauri wa hao wana lindi.

Hii ya Lindi iko poa. Kama kuna mtu ana mama yake na anaamini Lowassa ni mgonjwa akampe aone! Kama mtu ana mama, dada, shangaz au mke na anaamini Lowassa anaumwa ampelekee hao jamaa zake, ushauri mzuri toka kwa Wanalindi.
 
Rais Lowassaaaaaa...

Shikamoo... shikamoooo..!!!
 
Hii ya Lindi iko poa. Kama kuna mtu ana mama yake na anaamini Lowassa ni mgonjwa akampe aone! Kama mtu ana mama, dada, shangaz au mke na anaamini Lowassa anaumwa ampelekee hao jamaa zake, ushauri mzuri toka kwa Wanalindi.

Watu wa Lindi wana akili sana. Ukiona mtu anasema Lowassa mgonjwa mkumbushe ushauri wa ndugu zetu wa Lindi,ampeleke mama yake kama hatapata mdogo wake. Na ndugu wengine wa kike wakaprove kama kweli ni mgonjwa.
 
Hahahahah dah hiyo kali!
Utakuta mtu kakomaa Lowassa mgonjwa, sasa wana lindi wanekata mzizi wa fitna, mpeleke mama yako uone kama hutopata mdogo wako. Wana lindi nimewapenda bure.

Kombani alisema lowassa mgonjwa atakufa kafa yeye bila hata kuaga ba kuacha madeni kwenye familia Lowassa anadunda kama kitenesi.

Komba alisema warioba angoje kufa kafa yeye na kuacha madeni makubwa kwenye familia na kuachia familia mzigo mkubwa wa madeni.

Mkuu ukiona mtu anasema Lowassa mgonjwa mkumbushe ushauri wa wana Lindi, ampeleke mama yake.
 
Watu wako tayari kwa mabadiliko, je wewe mwenzangu, unasubiri nini! CCM out, out out kabisa!

Mererani1.jpg

Mererani2.jpg

Mererani3.jpg

Mererani4.jpg

Mererani5.jpg
CCM out out kabisa!!
Asante sana Othman Michuzi

 
Back
Top Bottom