Picha: Lowassa akiwa Mererani, Simanjiro mkoani Manyara leo

Picha: Lowassa akiwa Mererani, Simanjiro mkoani Manyara leo

Tatizo picha za ukawa zinapigwa kiana fulani, zinakatwa picha, jifunzeni basi hata kupiga picha kama za CCM ama muweke video. Maana hizi picha zinapigwa staili yakuhojika sana.

Wewe unataka upigwaje? K
 
Pale Lumumba wakiona hivyo wanajiuliza cha kusema wanakosa wanaanza kutafutana uchawi wenyewe kwa wenyewe chezea Mungu akikasilika ww

Kama wale wa babel unajua nn kilitokea
 
ImageUploadedByJamiiForums1443207187.643553.jpg
 
Ocampo asante sana japo unachelewa sana. Mkuu kwa mara ya kwanza nimeshuhudia fiesta ya CCM Kahama!! Kwa kifupi ule si mkutano ni Fiesta kabisa pasipo kupepesa macho. Jana wakati wa matangazo gari lilikuwa linasema; mwanamuziki Diamond atakuwepo kumsindikiza mgombea uraisi kupitia CCM mh. Makomeo!!!😀😀😀😛
 
Hakuna namna CCM inaweza kupita tena! Sote tuko na taswira inayoeleweka kuwa ni nani anakubalika na wenye nchi!

Nafurahi kukuona UKAWA. We we ni miongoni mwa watu wachache waliokuwa wakinipa moto pindi upo CCM. Nafurahi kuona umekuja tuungane kusaka mabadiliko nje ya CCM
 
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Milango 10 tayari kuhutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Kahama waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiruka kutoka kwenye gari wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano mjini Kahama.

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli( wa tatu kutoka kushoto) akiongoza meza kuu kumuombea mapumziko mema mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki Mhe. Celina Kombani aliyefariki nchini India tarehe 25 Sept.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwachangamsha wakazi wa Kahama kwa kuimba nao nyimbo za hamasa wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Milango 10.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akienda sambamba na wakazi wa mji wa Kahama.
Wananchi wakiwa wamebanana kabisa kumuona Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Kahama na kuwaahidi ataubadilisha mji huo na kuwa wa kisasa na wenye maendeleo zaidi.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwaambia wananchi wa Kahama kuwa atawafanyia kazi Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za vyama.
Hivi ndivyo mkutano wa Kahama wa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli ulivyofurika.
Wakazi wa Kahama mjini wakiwa wametosha kwenye mkutano wa kampeni za Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli

CCM bwana kwa kucopy n paste umeshindwa kuanzisha thread yako? Toa uharo wako hapa
 
CCM bwana kwa kucopy n paste umeshindwa kuanzisha thread yako? Toa uharo wako hapa






Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Karangalala tayari kuhutubia wakazi wa Geita mjini.

Umati ukiwa umefurika kumsikiliza mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala,Geita mjini.
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Geita mjini kwenye uwanja wa Karangalala ambapo aliwaeleza wakazi wa mji huo kuwa atahakikisha viwanda vinajengwa , wacimbaji wadogo wadogo wanapata maeneo ya kuchimba, ataboresha maslahi ya wafanyakazi , kuhakikisha madawa na huduma za afya zinakuwa bora zaidi na elimu bure kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne.
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake wa kampeni.

Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimtambulisha mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini Ndugu Costantine John Kanyansu kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika viwanja vya Karangalala mjini Geita.
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakiwa jukwaani na wanachama waliohamia CCM.
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa jukwaani wakati Mwana F.A akitumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za CCM mjini Geita.
Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulikwenye uwanja wa Karangalala.

Mabango ya Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli yakiwa yametanda kila kona ya mji wa Geita.



Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Musukuma pamoja na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Dk. Anthony Diallo kabla ya kuanza kuhutubia wakazi wa mji wa geita waliofurika kwenye uwanja wa Karangalala.


 
Zingatieni kauli hii.
Lowasa ataishia kuwa Rais wa mitandaoni tu. Watanzania si wajinga wa kiwango mnachodhani nyie.
 
SUMAYEEEEEEEE..... daaaaah...!!!

Huyu Kamanda rahaaaa sanaaaa sanaaaa

Sumayeeee...👏👏👏👏👏👏✌✌✌


Sumaye hadi raha sanaaaa... yaani anashangaaa kadi za CCM, ukimtazama ni kama anasema, hivi watu wanakaa na hizi kadi hadi sasa za nn..? anazishangaa kama kadi za KICHAWI VILE...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


Sumayeee.....😂😂😂😂😂😂😂
 
Nyie Mafisiem ebu kuweni na adabu.... Huu uzi tumeuanzisha kwa ajili ya mgombea wa Ukawa, sasa nyie mapicha yenu ya nini?...

Tunajua mkianzisha thread ya picha za Magufuli viwers hawatafika hata 200.... Poleni sana
 
Kwenye kikao chao ndio wameambiwa hvyo wazitupie kwenye thread zetu cc vijana wa IT masaki
 
Zingatieni kauli hii.
Lowasa ataishia kuwa Rais wa mitandaoni tu. Watanzania si wajinga wa kiwango mnachodhani nyie.
 
wataalamu wa mapozi,hebu mtueleze hiyo simama ya lowasa inashiria nini?,,mana kama vile kashikilia bomba kupata balance
 
Back
Top Bottom