PICHA; Lissu, Msigwa Walivyoiteka Iringa Jana!

PICHA; Lissu, Msigwa Walivyoiteka Iringa Jana!

Picha kama hizo zinanifanya mwaka 2015 niuone upo mbali sana .... 'Magamba' ni vema kama wakaanza kujisafisha kwani, wasiwasi wangu ni matumizi ya mahakama za kijamii kama ile iliyomkuta 'Gaddafi'! CCM jipangeni ..........
 
Picha kama hizo zinanifanya mwaka 2015 niuone upo mbali sana .... 'Magamba' ni vema kama wakaanza kujisafisha kwani, wasiwasi wangu ni matumizi ya mahakama za kijamii kama ile iliyomkuta 'Gaddafi'! CCM jipangeni ..........

ccm haisafishiki kwa namna yoyote ile. Wameshachelewa kujisafisha. Muhimu warudishe mali walizoiba alafu watupwe gerezani.
 
ccm wakiona ummati hivi, ndio watakavyozidi kupanga mikakati ya HUJUMA NAWIZI WA KURA. ndio maana wanaipenda ile kauli tangu enzi za Mh L. Mrema juu ya wingi wa watu kwenye mikutano kuwa sio alama ya ushindi

Vyama vya upinzani havitakiwi kuendelea kulia kwamba CCM inaiba kura tu bali wanatakiwa kuendelea kujifunza na wao jinsi ya kulinda kura zao kama walivyofanya wanaCDM katika majimbo waliyoshinda. Ni jukumu la vyama vya upinzani kuwa na mikakati ya kuhamasisha wapenzi wao kuweka mipango na mbinu za kulinda kura zao wakati wa chaguzi mbalimbali zijazo. Hii ni kama vita si lelema ni lazima kujiandaa na sio kuendelea kuilalamikia CCM. Tayari watz wamepata mwamko juu ya kuchagua viongozi wanaowapenda na jinsi ya kulinda kura zao.
 
Dah kazi imefanyika. Please sasa hamieni pia maeneo yasiyo ya wabunge wa CDM kwani lengo ni kuchukua majimbo yote,
 
Mkuu Kiganyi!! Hongera picha ni za kutosha.Pamoja daima.
 
Nimatumaini yangu kwa nguvu za mwenyezi mungu kuwa ccm sasa kitakuwa chama cha upinzani na itakichukua mda mrefu kuja kusimaa tena. usiniulize kwanini wakati umepewa macho.

VIVA CHADEMA
 
Aman iwe nasi,tanzania kwa watanzania amkeni saa ya ukombozi n sasa,penye ukweli uongo ujitenga m4c atudanganyiki
 
Nawapongeza sana makamanda wa ukweli. Kwa hali hii hakika 2015 nchi lazima iwe mikononi mwa CHADEMA.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hizi ndo kazi za kuonekana kwa watu ambao damu yao wameitoa kwa ajili ya kulikomboa taifa hili. Big up msigwa, lissu na wengine wanahangaika na kuitoa nchi yetu katka mfumo analogia kwenda dijitali. Sio kama anavyofanya mzee wa matunguri eti 'sitaliongelea suala la urais mwaka huu'' mi nakukumbusha sio mwaka huu tu bali milele hautauongelea urais wa nchi labda uongelee urais wa matunguri
segwanga, watu kama nyie mna tofauti gani na akina mwigulu, acheni mambo haya ya kitoto!
 
tunamitakia kila la heriii makamandaaa hakuna kulalaa mpakaa kielewekeeeeeee
 
Milango inaanza kufunguliwa vijana hakikisheni mmejiandikisha kupiga kura na muende vituoni mkapige kura na mlinde kura zenu. 2015 cdm ndio chama tawala. Tunataka tume huru ya uchaguzi itangaze kura kiuhalali si kupindisha ili fulani au chama fulani kishinde.
 
Back
Top Bottom