Digital system = M4C = mabadiliko ndani ya mioyo ya wa-tz!!
tunataka kuweka historia 2015 katika nchi yetu, mabadiliko haya tayari yapo ndani ya watu kinachobaki tu ni mobilization kuelekea kwenye fainali. umati kama huu bila posho, bila kuwapa bodaboda buku kumi kumi za mafuta, bila zecomidy, bila taarabu na bongo freva kama wenzetu basi think twice - revolution is on the way!!!