kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Alilia utafikiri katahiriwa bila ganzi! Nguvu ni wakati wa amani tu!usije ukathubutu kwasababu jamaa ana Chi-power utajikuta unapiga mayowe kama mpambe wa Lipumba alivyokatwa breki ya mguu mmoja.