Kwa mwendo huu ccm kwa heri 2015
Magamba ni kama timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Brazil, kwa miaka mingi mfululizo, kwenye chart ya FIFA ilikuwa ikishiklia nafasi ya kwanza, ikiwa haina mpinzani kabisa, hivi sasa katika top 10 haimo!!!!Mbona siku hizi sisikii magamba wakisema ccm #1 ? Watuambie ni namba ngapi basi
Sijua nani anayataka. Atakua na matatizo
Hizo za upande wa kushoto jamaa walijisahahu kuwa kadi huwa zinakunjwa. Kwasababu walizinunua kwa wingi walikosa fedha za kuwapatia vijana wasaidie katika zoezi la kuzikujna. Magamba bwana akili zao ndogo kuliko za watoto wa baby classHizo kadi ambazo hazijakunjwa, hazina wanachama. Nani kaiba hizi kadi, hazijagawiwa hizo.
Madogo ndo wako hivyo,je sisi wakubwa zao c ndo balaa!Madogo wana hasira hao balaa
mbona unaongea pumba feki kingeshika dola???ccm ni chama feki
mkuu wale wale wanaofuatwa na kupewa kadi za CCM bure pamoja na hongo juu ndo hao hao wanaohongwa kurudisha kadi za CHADEMA, ama ndo hao hao wanaonunuliwa kadi za CHADEMA na hao hao CCM ili wazirudishe siku ya mkutano, hivi ni vijimambo tu TZ, kadi zitapita na maisha yanaendelea.....Ni muhimu itambulike kwamba kadi nyingi za CCM wahusika huwa hawazigharamii, wanapewa bure tena mara nyingine kwa kupelekewa hadi vitandani mwao usiku na wagombea ubunge (pamoja na rushwa) ili kwenda kuwapigia kura wahusika katika mchakato wa kura za maoni; Kwahiyo sio ajabu sana kwa wamiliki wa kadi za namna hii kuzirudisha; Lakini kitendo cha Kadi za Chadema mfano kurudishwa kidogo huwa kinashtua kwani kwa kiasi kikubwa, wamiliki wa kadi husika huwa wamedhamiria wenyewe kuwa nazo kutokana na hamasa kubwa waliyonayo kwa Chadema;